www.sekomu.ac.tz
MWENYEKITI AKIFUNGUA MWAKA WA MASOMO WA SSILAC
MMOJA KATI YA WANA CLUB AKITOA STORI KWA LUGHA YA ALAMA
MBELE KABISA KUANZIA KUSHOTO NI WANAFUNZI WAPYA WA MWAKA WA KWANZA WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA
WANACHAMA WAKIWA MAKINI DARASANI WAKIJIFUNZA LUGHA YA ALAMA.
MMOJA KATI YA VIONGOZI WA CLUB AKITOA HISTORIA YAKE WAKATI AKIWA MAZOEZI DODOMA NA WANAFUNZI WALEMAVU WA MASIKIO.
bBaadhi ya viongozi wa ssilac club wakifanya utambulisho.
kushoto ni mwenyekiti wa ssilac akiwa anafanya utambulisho wa viongozi anaoshirikiana nao. na katikati ni mwalimu na mkalimani wa lugha ya alama akikalimani matangazo kwa wale wanafunzi wasiosikia wa mwaka wa kwanza na mwaka wapili
Alhamisi, 30 Oktoba 2014
Alhamisi, 23 Oktoba 2014
TANGAZO TANGAZO TANGAZO
Mwenyekiti wa sign language club sekomu anawatangazia wanachuo wa sekomu wote kuwa vipindi vitaanza rasmi jumamosi ya tarehe 25/10/2014.
muda kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana
sehemu LH3
wanachama wapya wanaopenda kujiunga wote wanakaribishwa hasa hasa mwaka wa kwanza.
imetolewa na katibu wa ssilac sekomu.
muda kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana
sehemu LH3
wanachama wapya wanaopenda kujiunga wote wanakaribishwa hasa hasa mwaka wa kwanza.
imetolewa na katibu wa ssilac sekomu.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)