Alhamisi, 30 Oktoba 2014

SIKU YA UFUNGUZI WA MWAKA WA MASOMO 2014/2015 SSILAC SEKOMU

www.sekomu.ac.tz



MWENYEKITI AKIFUNGUA MWAKA WA MASOMO WA SSILAC
MMOJA KATI YA WANA CLUB AKITOA STORI KWA LUGHA YA ALAMA


MBELE KABISA KUANZIA KUSHOTO NI WANAFUNZI WAPYA WA MWAKA WA KWANZA WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA

WANACHAMA WAKIWA MAKINI DARASANI WAKIJIFUNZA LUGHA YA ALAMA.
MMOJA KATI YA VIONGOZI WA CLUB AKITOA HISTORIA YAKE WAKATI AKIWA MAZOEZI DODOMA NA WANAFUNZI WALEMAVU WA MASIKIO.



bBaadhi ya viongozi wa ssilac club wakifanya utambulisho.
kushoto ni mwenyekiti wa ssilac akiwa anafanya utambulisho wa viongozi anaoshirikiana nao. na katikati ni mwalimu na mkalimani wa lugha ya alama akikalimani matangazo kwa wale wanafunzi wasiosikia wa mwaka wa kwanza na mwaka wapili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni