Jumamosi, 28 Machi 2015

TANZANGO

Uongozi wa club unawatangazia wana chama wote kuwa fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi zimeshatoka hivyo mwenye sifa basi akachukue na ajaze na arejeshe kwa ajili ya uchaguzi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni