Alhamisi, 10 Mei 2018

Je unachangamoto ya lugha ya alama?  

Je umeona changamoto hii mahali.?.
 Tuma maoni yako sasa tuweze na tushirikiane kujua namna gani tunaweza kusaidia jamii yetu haswa katika suala la matumizi ya lugha ya alama. Au waweza niandikia ...

davidedwin48@gmail.com
  . Usikae kimya tushirikiane mana kazi hii ni yetu sote!!
   Umejipangaje kama mtaalamu wa lugha ya alama kuisaidia jamii?
   #serve with compassion.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni